Jordan Aviation
Jordan Aviation ni ndege iliyo na makao yake mjini Amman, katika nchi ya Jordan. Ndege zake zinasafiri nchini na hata ng'ambo. Vilevile, inakodisha huduma zake kwa ndege zitakazo nafasi ya ziada. makao yake makuu ni kwenye uwanja wa ndege wa Marka mjini Amman na uwanja wa ndege wa Aqaba. Pia, inawasafirisha wafanyikazi wa Shirika la Umoja wa Mataifa.
Historia hariri
Ndege hii ilianzishwa mnamo 2000. Ilianza huduma kutoka mji wa Amman na ilikuwa kampuni ya ndege ya kwanza iliyo ya kibinafsi. Safari za kwenda Afrika Kaskazini zilianza Juni 2006. Jordan Aviation inamilikiwa na Mohamed Al-Khashman na Hazem Alrasekh na ina wafanyikazi 410.[1]
Miji inayosafiria hariri
Afrika hariri
- Egypt
- Alexandria (Alexandria International Airport)
- Asyut (Assiut Airport)
Luxor (Luxor International Airport)
Asia hariri
- Indonesia
- Bahrain
- Manama (Bahrain International Airport)
- Jordan
- Syria
- Damascus (Damascus International Airport)
- United Arab Emirates
- Dubai (Dubai International Airport)
- Qatar
- Doha (Doha International Airport)
- India
- Delhi (Indira Gandhi International Airport)
Uropa hariri
Ndege zake hariri
Aina ya ndege | Jumla | Wasafiriwa | Maelezo | |
---|---|---|---|---|
Airbus A310-222 | 1 | 234 | ||
Airbus A310-304 | 1 | 240 | ||
Airbus A320-211 | 1 | Inatumiwa na Syrian Arab Airlines | ||
Boeing 727-200 | 1 | 161 | ||
Boeing 737-300 | 5 | 1 inatumiwa na Buraq Air 1 inatumiwa na Toumaï Air Tchad | ||
Boeing 737-400 | 1 | |||
Boeing 767-200ER | 3 | 1 inatumiwa na Sun Air (Sudan) | ||
Gulfstream | 1 | 6 | ||
Jumla | 14 |
Marejeo hariri
- ↑ "Directory: World Airlines". Retrieved on 2010-01-29. Archived from the original on 2012-02-29.
Viungo vya nje hariri
- Jordan Aviation Archived 5 Januari 2007 at the Wayback Machine.