Karanoki (pia: Carannog, Cairnech, Carnech, Karanteg, Carantocus, Carantoc, Carantock; aliishi karne ya 6) alikuwa mmonaki halafu abati wa Britania anayetajwa kama mwanzilishi wa monasteri[1][2].

Sanamu yake huko Llangrannog, Welisi.

Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 16 Mei[3][4].

Tazama pia hariri

Tanbihi hariri

  1. Life of Saint Carannog, translated in "Lives of the Cambro British saints," p. 396ff , 1853, Rev. William Jenkins Rees
  2. http://www.santiebeati.it/dettaglio/53460
  3. Martyrologium Romanum
  4. (Kigiriki) Ὁ Ὅσιος Καραντόκιος. 16 Μαΐου. ΜΕΓΑΣ ΣΥΝΑΞΑΡΙΣΤΗΣ.

Marejeo hariri

  Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.