Kaunti ya Kisii ni mojawapo ya kaunti za Kenya zilizopo baada ya katiba mpya ya Jamhuri ya Kenya kupatikana mwaka 2010.

Picha ya ramani ikionesha eneo la Kaunti ya Kisii, nchini Kenya
Mojawapo ya mitaa ya Kisii, Kenya

Wakati wa sensa ya mwaka 2019 wakazi walikuwa 1,266,860 katika eneo la km2 1,323, msongamano ukiwa hivyo wa watu 958 kwa kilometa mraba[1].

Makao makuu yako Kisii.

Utawala hariri

Kaunti ya Kisii ina maeneo bunge yafuatayo[2]:

Eneo bunge Kata
Bobasi Masige West, Masige East, Bassi Central, Nyacheki, Bassi Bogetaorio, Bobasi Chache, Sameta/Mokwerero, Bobasi/Boitangare
Bomachoge Borabu Borabu Masaba, Boochi Borabu, Bokimonge, Magenche
Bomachoge Chache Machoge Basi, Boochi/Tendere, Bosoti/Sengera
Bonchari Bomariba, Bogiakumu, Bokeira, Riana
Kitutu Chache Kaskazini Monyerero, Sensi, Mwamonari, Marani
Kitutu Chache Kusini Bogusero, Bogeka, Nyakoe, Kitutu Central, Nyatieko
Mugirango Kusini Bogetenga, Borabu/Chitago, Moticho, Getenga, Tabaka, Boikanga
Nyaribari Chache Bobaracho, Kisii Central, Keumbu, Kiogoro, Birongo, Ibeno
Nyaribari Masaba Ichuni, Nyamasibi, Masimba, Gesusu, Kiamokana

Idadi ya wakazi katika kaunti ndogo (2019) [3] hariri

  • Etago 83,787
  • Gucha 83,740
  • Gucha South 83,623
  • Kenyenya 131,740
  • Kisii Central 166,906
  • Kisii South 135,134
  • Kitutu Central 154,175
  • Marani 107,464
  • Masaba South 122,396
  • Nyamache 130,898
  • Sameta 66,99

Uchumi hariri

Wakazi wengi wa kaunti hii wanategemea kilimo kwa chakula na mapato ya kifedha. Baadhi ya mimea inayokuzwa ni mahindi, ndizi na chai.[4].

Pia kuna biashara, hasa uuzaji wa mazao ya kilimo.

Tazama pia hariri

Marejeo hariri

  1. "Nakala iliyohifadhiwa". Ilihifadhi kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 2019-11-13. Iliwekwa mnamo 2021-05-30. 
  2. http://countytrak.infotrakresearch.com/Kisii-county/
  3. "Nakala iliyohifadhiwa". Ilihifadhi kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 2019-11-13. Iliwekwa mnamo 2021-05-30. 
  4. Ripoti ya Ufugaji wilayani Kisii: www.smallholderdairy.org

Viungo vya Nje hariri