Kelvin John

mchezaji wa Tanzania

Kelvin Pius John, (alizaliwa 10 Juni 2003) ni mchezaji wa mpira wa miguu wa nchini Tanzania, anayechezea klabu ya KRC Genk ya Ubelgiji na Timu ya Taifa ya Tanzania.

Kelvin Pius John
Maelezo binafsi
Tarehe ya kuzaliwa 10 Juni 2003
Mahala pa kuzaliwa    Morogoro, Tanzania
Timu ya taifa
Timu ya Taifa ya Tanzania

* Magoli alioshinda

Pia John alijiunga na klabu ya chuo ya Brooke House College (2019 - 2022).[1][2][3]

Marejeo hariri

  1. "Next Generation 2020: 60 of the best young talents in world footbal". theguardian.com. 
  2. "Kelvin John: A second Samatta slowed down by FIFA - Detour via Brooke House College". Ilihifadhi kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 2023-01-04. Iliwekwa mnamo 2023-09-13. 
  3. "Brooke House College: Links with Leicester, Kanu and Okocha, and coaching youngsters from around the globe". theathletic.com (Archived). Ilihifadhi kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 2023-01-04. Iliwekwa mnamo 2023-09-13. 
  Makala hii kuhusu mchezaji mpira fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Kelvin John kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.