Kibangi-Me ni lugha nchini Mali inayozungumzwa na Wadogon. Mwaka wa 2002 idadi ya wasemaji wa Kibangi-Me imehesabiwa kuwa watu 2000. Kufuatana na uainishaji wa lugha kwa ndani zaidi, Kibangi-Me hakifanani na lugha nyingine kwa hiyo haiwezekani kusema iko katika kundi au familia gani ya lugha.

Viungo vya nje hariri

  Makala hii kuhusu mambo ya lugha bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Kibangi-Me kama historia yake, uenezi au maendeleo yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.