Kiburunge ni lugha ya Kiafrika-Kiasia nchini Tanzania inayozungumzwa na Waburunge. Mwaka wa 2002 idadi ya wasemaji wa Kiburunge ilihesabiwa kuwa watu 13,000. Kufuatana na uainishaji wa lugha kwa ndani zaidi Kiburunge iko katika kundi la lugha za Kikushi.

Marejeo hariri

  • Maho, Jouni & Bonny Sands. 2002. The languages of Tanzania: a bibliography. (Orientalia et africana gothoburgensia, no 17.) Göteborg: Acta Universitatis Gothoburgensis. Pp ix, 428. ISBN 91-7346-454-6

Kitabu hiki kinataja marejeo mengine kama:

  • Kiessling, Roland. 1994. Eine Grammatik des Burunge. (Afrikanistische Forschungen, Bd 13.) Hamburg: Research & Progress Verlag. Kurasa iv, 275. [ISBN 3-89645-291-6]

Viungo vya nje hariri

  Makala hii kuhusu mambo ya lugha bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Kiburunge kama historia yake, uenezi au maendeleo yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.