Kimaasai (au Kimaa) ni lugha ya Kiniloti inayozungumzwa na Wamaasai nchini Kenya na Tanzania.

Kabila la Kimasai

Lugha hiyo huandikwa kwa herufi za Alfabeti ya Kilatini.

Marejeo hariri

  • Maho, Jouni & Bonny Sands. 2002. The languages of Tanzania: a bibliography. (Orientalia et africana gothoburgensia, no 17.) Göteborg: Acta Universitatis Gothoburgensis. Pp ix, 428. ISBN 91-7346-454-6

Kitabu hiki kinataja marejeo mengine kama:

  • Hinde, Hildegard. 1901. The Masai language: grammatical notes together with a vocabulary. Cambridge: University Press. Kurasa 75.
  • König, Christa. 1993. "Aspekt im Maa". Afrikanistische Monographien 3. Köln: Institut für Afrikanistik, Chuo Kikuu cha Köln. Kurasa 383.
  • Mol, Frans. 1995. Lessons in Maa: a grammar of Maasai language. Lemek (Kenya): Maasai Centre Lemek. Kurasa 317.
  • Mol, Frans. 1996. Maasai language and culture: dictionary. Lemek (Kenya): Maasai Centre Lemek. Kurasa xvii, 411.

Viungo vya nje hariri

  Makala hii kuhusu mambo ya lugha bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Kimaasai kama historia yake, uenezi au maendeleo yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.