King Bruce
mwanamuziki wa Ghana
King Bruce (3 Juni 1922 – 12 Septemba 1997)[1] alikuwa mtunzi wa Ghana, [2] kiongozi wa bendi na mwanamuziki.
Marejeo hariri
- ↑ "King Bruce & The Blackbeats" Archived 1 Julai 2017 at the Wayback Machine., RetroAfrica.
- ↑ "King Bruce & The Black Beats biography | Last.fm". Last.fm (kwa Kiingereza). Iliwekwa mnamo 2018-04-23.