Kiswahili cha Socotra

Kiswahili cha Socotra ni aina ya kiswahili kilichotoweka kilichokuwa kinazungumzwa kisiwani Socotra nchini Yemen. Iliripotiwa kuzungumzwa katika sehemu tano za kisiwa hicho (watu wapatao 2,000) mwaka 1962.[1]

Marejeo hariri

  1. "Socotra Swahili language", Wikipedia (kwa Kiingereza), 2022-06-18, iliwekwa mnamo 2022-08-12