Kolwezi
Kolwezi (pia: Kolwesi) ni mji mkuu wa mkoa wa Lualaba nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo.Idadi ya wakazi wake ni takriban 572,942 (2015).
Kolwezi (pia: Kolwesi) ni mji mkuu wa mkoa wa Lualaba nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo.
Kolwezi | |
Mahali pa mji wa Kolwezi katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo |
|
Majiranukta: 10°43′0″S 25°28′0″E / 10.71667°S 25.46667°E | |
Nchi | Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo |
---|---|
Mkoa | Lualaba |
Wilaya | Kolwezi |
Idadi ya wakazi | |
- Wakazi kwa ujumla | 572,942 |
Tazama pia hariri
Viungo vya nje hariri
Wikimedia Commons ina media kuhusu:
Makala hii kuhusu maeneo ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo bado ni mbegu. Je unajua kitu kuhusu Kolwezi kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni? Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |