Korbiniani
Korbiniani (670/680 - alifariki Maia, Ujerumani, 8 Septemba 725 hivi) alikuwa mmonaki kutoka Ufaransa au Visiwa vya Britania aliyetumwa kama mmisionari halafu akawa askofu katika Bavaria ya leo[1].
Tangu kale anaheshimiwa na Kanisa Katoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu.
Tazama pia hariri
Tanbihi hariri
Viungo vya nje hariri
- Munich-Freising at Catholic Encyclopedia
- (Kijerumani) Helmut Zenz: Heiliger Korbinian im Internet includes a gallery of images, a timeline of Corbinian's life, and sources in many languages for further reading
- Den hellige Korbinian av Freising
- (Kifaransa) Saint Corbinien - Evêque fondateur de l'église en Bavière includes hagiography for Corbinian and pictures of tapestries depicting the story of his life
- Butler, Alban. "St. Corbinian, Bishop of Frisingen, Confessor", Lives of the Saints, Vol. IX, (1866)
Makala hii bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |