Krispini na Krispiniani
Krispini na Krispiniani (walifariki Soissons, leo nchini Ufaransa, 25 Oktoba 286) walikuwa vijana Wakristo waliofanya umisionari kati ya Wagalia wakapata umaarufu kwa kukatwa kichwa katika dhuluma ya kaisari Maximian[1].
Tangu kale wanaheshimiwa na Wakatoliki, Waorthodoksi na Waorthodoksi wa Mashariki kama watakatifu wafiadini.
Tazama pia hariri
Tanbihi hariri
Viungo vya nje hariri
Wikimedia Commons ina media kuhusu:
Makala hii bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |