Kwirino wa Roma (30 Aprili)
Kwirino wa Roma (alifariki Roma, 116) ni mwanasheria wa Roma ya Kale aliyefia dini ya Kikristo[1].
Tangu kale anaheshimiwa na madhehebu mbalimbali ya Ukristo kama mtakatifu mfiadini.
Binti yake pia, Balbina wa Roma anaheshimiwa kama mtakatifu, hasa tarehe 31 Machi.
Tazama pia hariri
Tanbihi hariri
- ↑ "CATHOLIC ENCYCLOPEDIA: Sts. Quirinus". www.newadvent.org.
- ↑ Martyrologium Romanum: ex Decreto Sacrosancti oecumenici Concilii Vaticani II instauratum auctoritate Ioannis Pauli P.P. II promulgatum, Romae 2001, ISBN 8820972107
Marejeo hariri
- Walter Bader: St Quirinus zu Neuss. 1955
- Max Tauch: Quirinus von Neuss. 2000, ISBN|3-87909-692-9
- Helmut Wessels: Neuss und St. Quirin zu Fuß. 2004, ISBN|3-7616-1801-8, Engl. ISBN|3-7616-1956-1)
- Erich Wimmer: Quirinus von Neuss. in Lexikon für Theologie und Kirche (LThK) Bd. 8
Viungo vya nje hariri
Wikimedia Commons ina media kuhusu:
- San Quirino (Kiitalia)
- Quirinus von Rome (von Neuss) (Kijerumani)
Makala hii bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |