Liemarvin Bonevacia

Liemarvin Bonevacia (alizaliwa Willemstad, Curacao, 5 Aprili 1989) ni mwanariadha wa Uholanzi.

Liemarvin Bonevacia
Liemarvin Bonevacia

Maisha ya kazi hariri

Alikuwa ni mmoja kati ya wanne walioshiriki kwenye Michezo ya Olimpiki ya majira ya joto kama "mwanariadha anayejitegemea".[1][2]Bonevacia alimaliza kwenye mita 400 na alitolewa kwenye nusu fainali , alivopata majeraha kwenye mshipa wa paja la kulia na kumaliza wa mwisho.[3][4]

Marejeo hariri

  1. "Liemarvin BONEVACIA | Profile | World Athletics". www.worldathletics.org. Iliwekwa mnamo 2021-12-02. 
  2. "Liemarvin Bonevacia - Athletics - Olympic Athlete | London 2012". web.archive.org. 2012-07-22. Ilihifadhi kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 2012-07-22. Iliwekwa mnamo 2021-12-02. 
  3. "Olympics Site Closed | Olympics at Sports-Reference.com". www.sports-reference.com. Ilihifadhi kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 2020-04-06. Iliwekwa mnamo 2021-12-02. 
  4. "Drama voor Bonevacia in Londen - CuracaoSPORT.com". web.archive.org. 2014-05-19. Ilihifadhi kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 2014-05-19. Iliwekwa mnamo 2021-12-02.