Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii
(Elekezwa kutoka MOH)
Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii (Kiingereza: Ministry of Health and Social Welfare kifupi (MoH)) ni wizara ya serikali nchini Tanzania. Ofisi kuu ya wizara hii zipo mjini Dar es Salaam.
Tazama pia hariri
Marejeo hariri
Viungo vya nje hariri
Makala hii kuhusu mambo ya siasa bado ni mbegu. Unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuongezea habari. |