Machansela wa Ujerumani

Chansela wa Ujerumani (kwa Kijerumani: Bundeskanzler, katika fasihi: chansela wa shirikisho) ni kiongozi wa serikali ya Shirikisho la Jamhuri ya Ujerumani. Chansela wa Ujerumani huchaguliwa na jopu la wabunge wa shirikisho hilo la Ujerumani (Bundestag).

Jengo la Machansela la mjini Berlin ndiyo kitako cha Machansela.

Chansela wa sasa wa Ujerumani ni Olaf Scholz wa chama cha (SPD).

Bundeskanzler (tangu 1949) hariri

Orodha ya Machansela tangu 1949 hariri

  1. Konrad Adenauer (CDU), 1949-1963
  2. Ludwig Erhard (CDU), 1963-1966
  3. Kurt Georg Kiesinger[1] (CDU), 1966-1969
  4. Willy Brandt[1] (SPD), 1969-1974
  5. Helmut Schmidt (SPD), 1974-1982
  6. Helmut Kohl (CDU), 1982-1998
  7. Gerhard Schröder[1] (SPD), 1998-2005
  8. Angela Merkel (CDU), 2005-2021
  9. Olaf Scholz (SPD), 2021-

Tazama pia hariri

Marejeo hariri

  1. 1.0 1.1 1.2 Pia aliwahi kuwa Rais wa Bundesrat wa Ujerumani

Viungo vya nje hariri

 
WikiMedia Commons