Magharibi mwa Norwei

Magharibi mwa Norwei (Kinorwei: Vestlandet, Vest-Norge, Vest-Noreg) ni kanda iliyopo katika pwani ya bahari ya Atlantiki huko mjini kusini mwa nchi ya Norwei. Kanda ina-jumlisha baadhi ya majimbo kama vile Rogaland, Hordaland, Sogn og Fjordane, na Møre og Romsdal na kanda ina wakazi wapatao milioni 1.3. Mji mkubwa kabisa katika kanda hii ni Bergen, wa pili kwa ukubwa ni Stavanger. Agder, Vest-Telemark, Hallingdal, Valdres na sehemu za kaskazini mwa Gudbrandsdal zilikuwa katika jimbo hili wakati wa kupanga Magharibi mwa Norwei.[1][2]

Kolagi inayojumlisha miji ya magharibi ambayo ni: Stavanger ·Bergen ·Ålesund ·Selje ·Briksdalsbreen ·Kvitsøy · ·Steinsdalsfossen ·Folgefonna ·Ørsta ·Aurland

Miji hariri

Kanda hii ina miji ipatayo 22. Imewekewa ukubwa kulingana na idadi ya wakazi:

Wilaya hariri

 
Moja ya sehemu za kanda hii.

Hizi ni wilaya ambazo zimegawiwa kulingana na mfumo wa utawala wa sasa. Umepangwa kutoka Kaskazini kwenda Kusini.

Majimbo hariri

Ngao Jimbo Makao makuu Mji mkubwa Idadi ya wakazi (2010) Eneo (km²) Msongamano Meya Chama Gavana Muundo wa lugha
  Hordaland Bergen Bergen 592,100 15,440 31,13 Torill Selsvold Nyborg Christian Democratic Party Lars Sponheim Nynorsk
  Rogaland Stavanger Stavanger 563,700 9,377 46,07 Tom Tvedt Norwegian Labour Party Harald Thune Bokmål
  Møre og Romsdal Molde Ålesund 298,300 15,121 16,71 Olav Bratland Conservative Party of Norway Ottar Befring Nynorsk
  Sogn og Fjordane Leikanger Førde 122,700 18,622 5,77 Nils R. Sandal Centre Party Oddvar Flæte Nynorsk
Jumla 1,576,700 58,560 km² 21,73/km²

Marejeo hariri

  1. Vestlandet (Store norske leksikon)
  2. Helle, Knut (2006). Vestlandets historie. Bergen, Norway: Vigmostad & Bjørke. ISBN 978-82-419-0400-4. 

Viungo vya Nje hariri


  Makala hii kuhusu maeneo ya Norwei bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Magharibi mwa Norwei kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.