Majadiliano:Kinyala

kijiji chetu cha kipande hariri

naitwa daud zabroniasukile mkazi wa kata ya kinyala kipande kijiji chetu cha kipande kimekuwa kama ni cha mwisho katika watu walioelimika kidogo na mimi ndiyo nimeelimika kwa mfano umeme hamna pia na vizuri vizuri vyote vipo huku mjini sasa tusaidie angalau umeme tuu

Rudi kwenye ukurasa wa " Kinyala ".