Majadiliano:Kumbukumbu la Sheria
Latest comment: miaka 17 iliyopita by Kipala in topic Jina la makala
Jina la makala hariri
Nimeshangaa kuona jina la makala. Nimezoea "Kumbukumbu la Torati" kwa ajili ya kitabu hiki cha tano katika Biblia. Je kuna matoleo yanayotumia lugha hii ?? Yapi? --Kipala 13:00, 2 Oktoba 2006 (UTC)