Majadiliano:Tumbaku

Latest comment: miaka 9 iliyopita by Muddyb Blast Producer

Salaam tena mzee wangu. Hizi wanaita "TUMBAKU". Tangu utotoni mwangu hadi leo sijasikia jina la Tumbako. Labda ile Kidhungu zaidi! Wazo tu, mzee wangu.--MwanaharakatiLonga 14:30, 3 Juni 2014 (UTC) Reply

Haya, mwalimu wangu! Wajua Wamasai huchanganya z na s, wengine l na r, mimi o na u. Kipala (majadiliano) 16:37, 3 Juni 2014 (UTC)Reply
Naam, kwa Kiswahili (kama kwa lugha nyingine) o na u huchanganywa. Ni kweli, Watanzania wengi husema "tumbaku" lakini watu wengine husema "tumbako" na neno hili limo katika kamusi nyingi. ChriKo (majadiliano) 21:08, 3 Juni 2014 (UTC)Reply
Asante kwa kuchangia! Sasa ibaki vile nilivyobadilisha? Maana nimechukua tumbako kutoka "mtumbako" lakini hata makala ile niliwahi kuanzisha. Nikiangalia KKK/ESD online http://kess.co.tz/eng-swa/m.html ni tumbaku pia nikifanya google,check: tumbaku 213,000, tumbako 7,280 results. Ibaki, je? Kipala (majadiliano) 21:15, 3 Juni 2014 (UTC)Reply
Sawasawa tu, ibaki. ChriKo (majadiliano) 21:23, 3 Juni 2014 (UTC)Reply
Ahsanteni kwa kunisikiliza!--MwanaharakatiLonga 12:25, 4 Juni 2014 (UTC)Reply
Rudi kwenye ukurasa wa " Tumbaku ".