Maria Mikaela Desmaisieres
Maria Mikaela Desmaisieres (Madrid, Hispania, 1 Januari 1809 – Valencia, 24 Agosti 1865) alikuwa mtawa aliyeanzisha shirika la Masista Waabuduo Wajakazi wa Sakramenti Kuu na wa Upendo.
Kabla ya hapo aliacha maisha ya fahari ya familia yake akahudumia waliopatwa na kipindupindu na makahaba[1].
Hatimaye alihudumia tena wenye kipindupindu nayo ikampata na kumuua.
Anaheshimiwa na Kanisa Katoliki kama mtakatifu. Alitangazwa na Papa Pius XI kuwa mwenye heri tarehe 7 Juni 1925, halafu mtakatifu tarehe 4 Machi 1934.
Tazama pia hariri
Tanbihi hariri
Viungo vya nje hariri
Makala hii bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |