Marianne Schieder (amezaliwa 23 Mei 1962) ni mwanasiasa wa Ujerumani. Mzaliwa wa Schwarzberg ( Wernberg-Köblitz ), Bavaria, anawakilisha SPD . Marianne Schieder amehudumu kama mwanachama wa Bundestag kutoka jimbo la Bavaria tangu mwaka 2005. [1]

Maisha hariri

Alikua mwanachama wa bundestag baada ya uchaguzi wa shirikisho la Ujerumani wa mwaka 2005 . [2] Yeye ni mjumbe wa Kamati ya Uhakiki wa Vitambulisho na Kinga na Kamati ya Utamaduni na Vyombo vya Habari. [3] [4]

Marejeleo hariri

  1. "Marianne Schieder | Abgeordnetenwatch". www.abgeordnetenwatch.de (kwa Kijerumani). Iliwekwa mnamo 2020-03-21. 
  2. "Marianne Schieder, MdB". SPD-Bundestagsfraktion (kwa Kijerumani). 2011-06-27. Iliwekwa mnamo 2020-03-21. 
  3. "German Bundestag - Scrutiny of Elections, Immunity and the Rules of Procedure". German Bundestag (kwa Kiingereza). Iliwekwa mnamo 2020-03-21. 
  4. "German Bundestag - Cultural and Media Affairs". German Bundestag (kwa Kiingereza). Iliwekwa mnamo 2020-03-21. 

Viungo vya nje hariri