Marino shemasi (kisiwa cha Rab, Dalmatia, Kroasya, karne ya 3 - San Marino, 366) alikuwa mchongamawe, halafu mmonaki na shemasi wa Kanisa Katoliki.

Marino kazini.

Anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu na mwanzilishi (301) wa monasteri ambayo ikawa jamhuri ya San Marino katika rasi ya Italia.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 3 Septemba[1][2]

Tazama pia hariri

Tanbihi hariri

Viungo vya nje hariri

  Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.