Masimo wa Nola alikuwa askofu wa Kanisa huko Nola, karibu na Napoli, Italia katika karne ya 3[1].

Mt. Feliche akimsaidia Mt. Masimo.

Alijitahidi kuokoa waumini wake wakati wa dhuluma ya kaisari Decius, na baada ya miaka mingi ya uchungaji akafariki kwa amani,alivyosimulia mwandamizi wake Paulino wa Nola.

Tangu kale ametambuliwa na Kanisa Katoliki na Waorthodoksi kuwa mtakatifu.

Sikukuu yake ni tarehe 7 Februari[2].

Tazama pia hariri

Tanbihi hariri

  Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.