Gaius Iulius Verus Maximinus au Maximinus Thrax (takriban 173 – Aprili 238) alikuwa Kaizari wa Dola la Roma kuanzia 20 Machi, 235 hadi kifo chake. Alimfuata Alexander Severus. Kwa vile hakukaa katika mji wa Roma, kulikuwa na makaizari wengi walioasi dhidi yake, kama babu, baba na mwana wa akina Gordian, au Balbinus na Pupienus.

Kaizari Maximinus Thrax

Tazama pia hariri

  Makala hii kuhusu Kaizari fulani wa Roma bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Maximinus Thrax kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.