Megan Walsh

mchezaji wa mpira wa miguu (aliyezaliwa 1994)

Megan Laura Walsh (alizaliwa 12 Novemba 1994)[1] ni mchezaji wa mpira wa miguu ambaye anacheza kama golikipa wa klabu ya West Ham United inayoshiriki Ligi Kuu ya Wanawake (WSL) na timu ya taifa ya Jamhuri ya Eire.[2]

Walsh akiwa na West Ham mnamo 2023

Marejeo hariri

  Makala hii kuhusu mchezaji mpira fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Megan Walsh kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.