Mgunga
(Vachellia spp.)
Mgunga mwavuli (Vachellia tortilis)
Mgunga mwavuli (Vachellia tortilis)
Uainishaji wa kisayansi
Himaya: Planta (mimea)
(bila tabaka): Angiospermae (Mimea inayotoa maua)
(bila tabaka): Eudicots (Mimea ambayo mche wao una majani mawili)
(bila tabaka): Rosids (Mimea kama mwaridi)
Oda: Fabales (Mimea kama mharagwe)
Familia: Fabaceae (Mimea iliyo na mnasaba na mharagwe)
Nusufamilia: Mimosoideae (Mimea inayofanana na kifauwongo)
Jenasi: Vachellia (Migunga)
Wight & Arn., 1834
Spishi: Angalia katiba.

Migunga ni miti ya jenasi Vachellia katika familia Fabaceae yenye miiba mirefu kiasi na majani yenye sehemu nyingi. Zamani spishi hizi ziliainishwa katika jenasi Acacia lakini wanasayansi wamegawanya jenasi hii kwenye jenasi tano: Acacia, Vachellia, Senegalia, Acaciella na Mariosousa[1]. Spishi za Vachellia zina miiba miwili mirefu na nyofu kwenye kila kifundo. Miti hii inatokea maeneo kavu ya Afrika, Amerika, Asia, Australia na Ulaya (imewasilishwa).

Miiba ya mgunga homa (V. xanthophloea)

Spishi za Afrika hariri

Spishi za mabara mengine hariri

Picha hariri

Marejeo hariri

  1. "The Acacia Debate". Science In Public. 2011. Iliwekwa mnamo 2011-08-03.