Michael Makoto "Mike" Honda (amezaliwa 27 Juni 1941)[1] ni mwanasiasa na mwalimu wa zamani wa Marekani. Mwanachama wa Democratic Party, alihudumu katika bunge la Marekani kutoka 2001 hadi 2017.

Mike honda mjumbe wa U.S. House of Representatives kutoka Califonia. Januari 3, 2001 – Januari 3, 2017 Ofisini

Hapo awali alijishughulisha katika elimu huko California, alianza kujishughulisha na siasa mnamo 1971,[2] wakati meya wa San Jose Norman Mineta alimteua Honda katika Tume ya Mipango ya jiji hilo. Mineta baadaye alijiunga na mabaraza ya Bush na Clinton. Baada ya kushikilia nyadhifa zingine, Honda alichaguliwa kwenye Bodi ya Wasimamizi ya Kaunti ya Santa Clara mnamo 1990, na kwnye Bunge la Jimbo la California mnamo 1996[3], ambapo alihudumu hadi 2001.

Marejeo hariri

  1. "Makato Honda, Born 06/27/1941 in California | CaliforniaBirthIndex.org". www.californiabirthindex.org. Iliwekwa mnamo 2023-01-13. 
  2. "Politics, Policy, Political News". POLITICO (kwa Kiingereza). Iliwekwa mnamo 2023-01-13. 
  3. "Politics, Policy, Political News". POLITICO (kwa Kiingereza). Iliwekwa mnamo 2023-01-13.