Milima ya Usambara

Milima ya Usambara ni sehemu iliyoinuka upande wa Kaskazini Mashariki wa nchi ya Tanzania.

Milima ya Usambara.
Milima ya Usambara.

Milima ya Usambara ni milima kunjamano yaani milima iliyoshikana kutoka mlima mmoja mpaka mwingine. Ni sehemu ya Tao la Mashariki.

Wenyeji wanaoishi maeneo haya ni Wasambaa, ndiyo maana ikaitwa milima ya Usambara. Iko katika mkoa wa Tanga kuanzia Korogwe kuelekea kaskazini mpaka karibu na milima ya Upare.

Milima hiyo ni:

Tazama pia hariri

Viungo vya nje hariri

 
Wikimedia Commons ina media kuhusu: