Mitazamo ya Agano Jipya juu ya Yesu

Mitazamo ya Agano Jipya juu ya Yesu inatofautiana kadiri ya waandishi, lakini bila kuvunja umoja wa imani yuu yake kama Kristo na Mwana wa Mungu.

Mchoro wa Lodovico Carracci (1594) unaoonyesha kugeuka sura kwa Yesu mbele ya mitume wake Petro, Yakobo Mkubwa na Yohane.
Mfululizo wa kurasa juu ya Yesu
Jesus
Yesu Kristo na Ukristo

Umwilisho  • Utoto wa Yesu  • Ubatizo
Arusi ya Kana • Utume wa Yesu • Mifano ya Yesu  • Miujiza ya Yesu
Kugeuka sura • Karamu ya mwisho • Msalaba wa Yesu  • Maneno saba
Kifo cha Yesu  • Ufufuko wa Yesu
Kupaa mbinguni  • Ujio wa pili
Injili  • Majina ya Yesu katika Agano Jipya  • Yesu kadiri ya historia  • Tarehe za maisha ya Yesu • Kristolojia

Mazingira ya Yesu

Wayahudi • Kiaramu • Bikira Maria • Yosefu (mume wa Maria) • Familia takatifu • Ukoo wa Yesu • Ndugu wa Yesu • Yohane Mbatizaji

Mitazamo juu ya Yesu

Mitazamo katika Agano Jipya · Mitazamo ya Kikristo • Mitazamo ya Kiyahudi • Mitazamo ya Kiislamu • Yesu katika sanaa

Mitazamo muhimu zaidi ni ile ya Mtume Paulo na Mtume Yohane, ambao ndio wanateolojia hasa, lakini ipo mingine kama ile ya Injili ya Marko, Injili ya Mathayo, Mwinjili Luka, Waraka kwa Waebrania n.k.

Pengine mwandishi yuleyule anatushirikisha mitazamo tofautitofauti katika vitabu vyake, kwa mfano kutokana na maendeleo ya uelewa wake. Hivyo jinsi Yesu Kristo anavyoonekana katika Waraka kwa Waefeso imeendelea kuliko ilivyo katika Waraka wa kwanza kwa Wathesalonike ulioandikwa na Paulo yuleyule zaidi ya miaka 10 kabla yake.

Kristolojia inakusanya mitazamo hiyo yote na kujitahidi kuelewa zaidi tena fumbo la Kristo.

Makala hii kuhusu mtu wa Biblia bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mitazamo ya Agano Jipya juu ya Yesu kama habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.