Mkoa wa Điện Biên

Điện Biên ni mkoa wa Vietnam. Mji mkuu ni Điện Biên Phủ. Eneo lake ni 9,554 km². Mwaka 2009 wakazi 490,306 walihesabiwa.

Mahali pa Điện Biên katika Vietnam

Tazama pia hariri

Viungo vya nje hariri

  Makala hii kuhusu eneo fulani bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu eneo hilo kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Je, unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.


Usitaje majina ya madiwani na viongozi au maafisa wengine wa sasa maana wanabadilika haraka mno.