Mkoa wa Kivu Kaskazini

jimbo la Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo


Mkoa wa Kivu ya Kaskazini ni moja ya mikoa 26 ya kujitawala ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo. Idadi ya wakazi wake ni takriban 3,564,434. Mji mkuu ni Goma.

Mkoa wa Kivu Kaskazini
Nord-Kivu
Mahali paMkoa wa Kivu Kaskazini Nord-Kivu
Mahali paMkoa wa Kivu Kaskazini
Nord-Kivu
Mahali pa Mkoa wa Kivu Kaskazini katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo
Majiranukta: 01°41′S 29°14′E / 1.683°S 29.233°E / -1.683; 29.233
Nchi Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo
Wilaya 5
Mji mkuu Goma
Serikali
 - Gouverneur Julien Paluku Kahongya
Eneo
 - Jumla 59,483 km²
Idadi ya wakazi (1998)
 - Wakazi kwa ujumla 3,564,434
Tovuti:  http://www.provincenordkivu.org/

Picha za Kivu Kaskazini hariri


  Makala hii kuhusu maeneo ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Mkoa wa Kivu Kaskazini kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.


 
WikiMedia Commons
Wikimedia Commons ina media kuhusu:



 
Mikoa ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo
 
Équateur | Ituri | Kasaï | Kasaï Mashariki | Katanga Juu | Kinshasa | Kivu Kaskazini | Kivu Kusini | Kongo Kati | Kwango | Kwilu | Lomami | Lomami Juu | Lualaba | Lulua | Mai-Ndombe | Maniema | Mongala | Sankuru | Tanganyika | Tshopo | Tshuapa | Ubangi Kaskazini | Ubangi Kusini | Wele Chini | Wele Juu
+/-