Mkoa wa Tanganyika

jimbo la Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo


Mkoa wa Tanganyika ni moja ya mikoa 26 ya kujitawala ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo. Liko upande wa Mashariki wa nchi likipakana na nchi ya Tanzania na Ziwa la Tanganyika. Idadi ya wakazi wake ni takriban 2,482,009. Mji wake mkuu ni Kalemie.

Mkoa wa Tanganyika
Mahali paMkoa wa Tanganyika
Mahali paMkoa wa Tanganyika
Mahali pa Mkoa wa Tanganyika katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo
Majiranukta: 05°56′S 29°12′E / 5.933°S 29.200°E / -5.933; 29.200
Nchi Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo
Wilaya 6
Mji mkuu Kalemie
Serikali
 - Gouverneur
Eneo
 - Jumla 134,940 km²
Idadi ya wakazi (1998)
 - Wakazi kwa ujumla 2,482,009

Angalia Pia hariri

  Makala hii kuhusu maeneo ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Mkoa wa Tanganyika kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.


 
WikiMedia Commons
Wikimedia Commons ina media kuhusu:



 
Mikoa ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo
 
Équateur | Ituri | Kasaï | Kasaï Mashariki | Katanga Juu | Kinshasa | Kivu Kaskazini | Kivu Kusini | Kongo Kati | Kwango | Kwilu | Lomami | Lomami Juu | Lualaba | Lulua | Mai-Ndombe | Maniema | Mongala | Sankuru | Tanganyika | Tshopo | Tshuapa | Ubangi Kaskazini | Ubangi Kusini | Wele Chini | Wele Juu
+/-