Šar ni safu ya milima ya Balkani (Ulaya), kati ya nchi za Serbia, Albania na Jamhuri ya Masedonia Kaskazini.

Milima ya Šar

Urefu wake ni mita 2,747 juu ya usawa wa bahari.

Tazama pia hariri

  Makala hii kuhusu maeneo ya Ulaya bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Mlima Sar kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.