Msaada ni huduma au faraja anayopewa mtu anapokuwa na shida au tatizo kama vile ajali, matatizo ya kifamilia, msongo wa mawazo n.k.

Maskini akiomba Msaada
UNHCR wakitoa Msaada Kenya

Binadamu wote wanahitaji msaada katika maisha yao, hasa mwanzoni na mwishoni. Hivyo ni muhimu kujenga tabia ya kuwa tayari kuutoa na kuupokea vilevile.