Rose Alphonce (alizaliwa Dar es Salaam, 1 Januari, 1989) ni mwigizaji, mfanyabiashara[1] na mtu anayejihusisha na masuala ya kijamii, hususani watoto. Alianza rasmi shughuli za kijamii baada ya kifo cha mtoto wake PATRICK[2]

Marejeo hariri

  1. https://radiojambo.co.ke/authors/peter. "Msijaribu! Najuta kufanya surgery - Munalove". Radio Jambo (kwa en-KE). Iliwekwa mnamo 2023-04-20. 
  2. "Simanzi baada ya kifo cha mtoto wa 'Muna Love'", BBC News Swahili (kwa Kiswahili), iliwekwa mnamo 2023-04-20 
  Makala hii kuhusu mwigizaji filamu fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu MunaLove kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.