Mustafa Mkulo
(Elekezwa kutoka Mustafa Haidi Mkulo)
Mustafa Haidi Mkulo (26 Septemba 1946 - 3 Mei 2024) alikuwa mbunge wa jimbo la Kilosa katika bunge la kitaifa huko nchini Tanzania akitokea katika chama cha CCM.[1] Aliwahi kuwa waziri wa fedha.
Tazama pia hariri
Marejeo hariri
- ↑ "Mengi kuhusu Mustafa Haidi Mkulo". Ilihifadhi kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 2011-10-17. Iliwekwa mnamo 2011-11-04. Unknown parameter
|=
ignored (help)
Makala hiyo kuhusu mwanasiasa wa Tanzania bado ni mbegu. Unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuongezea habari. |