Mwanaidi Mayowela

mwanamke mjasiriamali ambaye hapo awali alikuwa anaombaomba maeneo ya posta kulingana na changamoto ya viungo vya mwili wake (ulemavu).

Mwanaidi Mayowela ni mwanamke mjasiriamali ambaye hapo awali alikuwa anaombaomba maeneo ya posta kulingana na changamoto ya viungo vya mwili wake (ulemavu)[1].

Mwanaidi Mayowela
Nchi Tanzania
Kazi yake mjasiriamali

Kwa kuona ni kwa jinsi gani anaweza kujikwamua kimaisha kwa kutumia mikono yake, mwanamke huyu ndipo akajiunga na kikundi cha wamama wenzie waliokua wanajishuhulisha na kazi za mikono.

Mwanaidi Mayowela pia alionesha nia ya kutaka kufanya biashara yoyote ambayo ingeweza kumsaidia, aliweza kuanza kutengeneza bangili za asili (utamaduni) pamoja na mikoba ambayo alikuwa anauzia maeneo yale aliyokuwa anaombaomba[2].

Tuzo hariri

Mnamo Aprili 2017 alipata Tuzo ya heshima na katika tuzo za Malkia wa Nguvu zinazoratibiwa na Clouds Media Group na washirika wake.[3]

Marejeo hariri

  Makala hii kuhusu mtu huyo bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mwanaidi Mayowela kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.