Neringa
Neringa ni manispaa na mji nchini Lituanya. Kuna wakazi 2,400 (mwaka 2001). Mji ulianzishwa 1607.
Jiografia hariri
Eneo lake ni 90 km². Iko kando ya Bahari ya Baltiki.
-
Ufukwe
-
Nyumba ya Sanaa katika Neringa
Viungo vya nje hariri
Makala hii kuhusu "Neringa" ni fupi mno. Inahitaji kupanuliwa mapema. |
Makala hii kuhusu maeneo ya Ulaya bado ni mbegu. Je unajua kitu kuhusu Neringa kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni? Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |