Novak Djokovich
Novak Djokovich (22 Mei 1987, Belgrad; Kiserbia: Новак Ђоковић, Novak Đoković) ni mchezaji wa tenisi kutoka Serbia. Alishinda mashindano matano ya Grand Slam. Mwaka 2012 Djokovich alikuwa mchezaji bora duniani kwenye orodha ya ATP.[1]
Novak Djokovich | |
---|---|
| |
Alizaliwa | 22 Mei 1987 Serbia |
Kazi yake | michezo - tenisi |
Grand Slam hariri
Picha nyumba ya sanaa hariri
Marejeo hariri
- ↑ ATP World Rankings 2 Desemba 2012.