Odo wa Cluny
(Elekezwa kutoka Odo of Cluny)
Odo wa Cluny (kwa Kifaransa: Odon; Deols, karibu na Le Mans, 880 hivi – 18 Novemba 942) alikuwa abati wa pili wa monasteri ya Cluny.
Aliendeleza urekebisho huo wa Wabenedikto nchini Ufaransa na Italia[1][2].
Habari zake zinapatikana katika kitabu Vita Odonis kilichoandikwa na Yohane wa Salerno, mwanafunzi wake.
Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu.
Sikukuu yake huadhimishwa tarehe ya kifo chake, 18 Novemba[3].
Tazama pia hariri
Tanbihi hariri
- ↑ Löffler, Klemens. "St. Odo." The Catholic Encyclopedia Vol. 11. New York: Robert Appleton Company, 1911. 6 November 2017
- ↑ Pope Benedict XVI. "Saint Odo of Cluny", General Audience, 2 September 2009, Libreria Editrice Vaticana
- ↑ Martyrologium Romanum
Marejeo hariri
- Schoolmasters of the Tenth Century. Cora E.Lutz. Archon Books 1977.
Viungo vya nje hariri
Wikimedia Commons ina media kuhusu:
- Odo of Cluny Archived 17 Mei 2008 at the Wayback Machine. at Patron Saints Index
- The Life of Saint Gerald of Aurillac by Odo of Cluny, trans. Gerald Sitwell, O.S.B. (Google Books)
- "At the Wellspring of Joy: Saint Odo of Cluny", Silverstream Priory
Makala hii bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |