Orlando Magic

Timu ya mpira wa kikapu ya Marekani

Orlando Magic ni timu ya kulipwa ya mpira wa kikapu kutoka mjini Orlando, Florida. Wanachezea katika Chama cha Mpira wa Kikapu nchini Marekani. Vinara wao waliopo kwa sasa ni pamoja na Aaron Gordon.

Viungo vya Nje hariri

 
Amway Center, Uwanja wa Magic's Tangu mwaka 2010


  Makala hii kuhusu mambo ya michezo bado ni mbegu.
Je, unajua kitu zaidi kuhusu Orlando Magic kama historia yake, uenezi au kanuni zake?
Labda unaona katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine habari zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.