Orodha ya Marais wa Togo

Togo

Makala hii imepangwa kwa mfululizo:
Siasa na serikali ya
Togo



Nchi zingine · Atlasi

Marais wa Togo (1960-hadi sasa) hariri

(Tarehe katika italiki zinaonyesha muendelezo wa ofisi wa de facto)


Muda wa Utawala Mtawala Chama Vidokezo
Jamhuri ya Togo
27 Aprili 1960 hadi 13 Januari 1963 Sylvanus Olympio, Rais CUT Aling'olewa Madarakani na Kuuwawa
13 Januari 1963 hadi 15 Januari 1963 Emmanuel Bodjollé, Mwenyekiti wa Kamati kusababisha uasi Mil
16 Januari 1963 hadi 13 Januari 1967 Nicolas Grunitzky, Rais PTP Aling'olewa Madarakani
14 Januari 1967 hadi 14 Aprili 1967 Kléber Dadjo, Mwenyekiti wa Kamati ya Taifa ya Maridhiano Mil
14 Aprili 1967 hadi 30 Novemba 1969 Étienne Eyadéma, Rais Mil
30 Novemba 1969 hadi 8 Mei 1974 RPT Alibadilisha jina kuwa Gnassingbé Eyadéma
8 Mei 1974 hadi 5 Februari 2005 Gnassingbé Eyadéma, Rais RPT Alikufa katika ofisi
5 Februari 2005 hadi 25 Februari 2005 Faure Gnassingbé, Rais RPT Mara ya kwanza
25 Februari 2005 hadi 4 Mei 2005 Bonfoh ABBASS, Kaimu Rais RPT
4 Mei 2005 hadi sasa Faure Gnassingbé, Rais RPT Mara ya pili

Kisiasa hariri

Angalia Pia hariri