Papa Donus alikuwa Papa kuanzia tarehe 2 Novemba 676 hadi kifo chake tarehe 11 Aprili 678[1]. Alitokea Roma, Lazio, Italia[2].

Papa Donus.

Jina la baba yake lilikuwa Mauricius.

Alimfuata Papa Adeodato II akafuatwa na Papa Agatho.

Tazama pia hariri

Tanbihi hariri

Viungo vya nje hariri

  Makala hii kuhusu Papa fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Papa Donus kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.