Papa Eusebius alikuwa Papa kwa miezi minne tu, kuanzia tarehe 18 Aprili 309 hadi tarehe 17 Agosti 309[1]. Alitokea Ugiriki.

Papa Eusebius

Papa Eusebius.
Feast

Alimfuata Papa Marcellus I akafuatwa na Papa Miltiades.

Kulipotokea fujo miongoni mwa Wakristo wa mji wa Roma kuhusu malipizi ya kufanywa na waliowahi kuasi[2][3], Eusebius alifungwa na Kaisari Maxentius akafariki mapema uhamishoni[4] katika kisiwa cha Sicilia[5] .

Tangu kale anaheshimiwa kama mtakatifu.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe ya kifo chake[6].

Tazama pia hariri

Maandishi yake hariri

Tanbihi hariri

  1. https://www.vatican.va/content/vatican/en/holy-father.index.html#holy-father
  2. "Butler, Alban. "St. Eusebius, Pope and Confessor", Lives of the Saints, 1866". 
  3. Hitilafu ya kutaja: Invalid <ref> tag; no text was provided for refs named Schaff-Herzog
  4. "Kirsch, Johann Peter. "Pope St. Eusebius." The Catholic Encyclopedia. Vol. 5. New York: Robert Appleton Company, 1909. 16 Mar. 2015". 
  5. "Saint Eusebius". Encyclopædia Britannica. 20 July 1998. https://www.britannica.com/biography/Saint-Eusebius. Retrieved 7 March 2020.
  6. Martyrologium Romanum: ex Decreto Sacrosancti oecumenici Concilii Vaticani II instauratum auctoritate Ioannis Pauli P.P. II promulgatum, Romae 2001, ISBN 8820972107

Viungo vya nje hariri

  Makala hii kuhusu Papa fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Papa Eusebius kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.