Papa Yohane X alikuwa Papa kuanzia Machi/Aprili 914 hadi Mei/Juni 928 alipofungwa na watawala wa mji wa Roma. Alifariki kifungoni mwaka uleule au 929[1]. Alitokea Tossignano, Imola, Italia[2].

Papa Yohane X.

Jina lake la kuzaliwa pia lilikuwa Yohane.

Alimfuata Papa Lando akafuatwa na Papa Leo VI.

Tazama pia hariri

Maandishi yake hariri

Tanbihi hariri

Viungo vya nje hariri

  Makala hii kuhusu Papa fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Papa Yohane X kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.