Papa Yohane XXI (121520 Mei 1277) alikuwa Papa kuanzia tarehe 13 Septemba 1276 hadi kifo chake[1]. Alitokea Lisbon, Ureno[2].

Papa Yohane XXI

Jina lake la kuzaliwa lilikuwa Pedro Julião au Pedro Hispano.

Alimfuata Papa Adriano V akafuatwa na Papa Nikolasi III.

Tazama pia hariri

Tanbihi hariri

Marejeo hariri

  • Maxwell-Stuart, P. G. Chronicle of the Popes: The Reign-by-Reign Record of the Papacy from St. Peter to the Present, Thames & Hudson, 2002, p. 119. ISBN 0-500-01798-0.

Viungo vya nje hariri

 
WikiMedia Commons
Wikimedia Commons ina media kuhusu:
  Makala hii kuhusu Papa fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Papa Yohane XXI kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.