Patrick Cullinan

Mshairi wa Afrika Kusini

Patrick Roland Cullinan (amezaliwa 25 Mei 1933 mjini Pretoria) ni mwandishi wa Afrika Kusini. Alisoma Kiingereza katika Chuo Kikuu cha Oxford, Uingereza, akawa mkufunzi wa lugha ya Kiingereza mjini Cape Town. Hasa alitunga mashairi.

Faili:Patrick Cullinan Photograph.jpg
Patrick_Cullinan_Photograph


Patrick Cullinan
Amezaliwa Patrick Roland Cullinan

Pretoria, Afrika Kusini
Amekufa 25 Mei 1933
Cape Town, Afrika Kusini
Nchi Afrika Kusini
Kazi yake Mwandishi

Vitabu vyake hariri

  • Today is not different (1978)
  • White Hail in the Orchard (1984)
  • Selected Poems (1994)

Angalia pia hariri

Marejeo hariri

  • Chapman, Michael. 2003. Southern African Literatures, University of Natal Press. ISBN 1-86914-028-1
  Makala hii kuhusu mtu huyo bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Patrick Cullinan kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.