Rae Armantrout (amezaliwa 13 Aprili 1947) ni mshairi wa kike kutoka nchi ya Marekani. Mwaka wa 2010 alipokea Tuzo ya Pulitzer ya Ushairi.

Rae Armantrout

Viungo vya Nje hariri

  Makala hii kuhusu mwandishi fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Rae Armantrout kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.