Rico Gang

Kikundi cha Kenya cha Gengeton

Rico Gang ni kundi la muziki wa Gengetone nchini Kenya lililoundwa Nairobi na HarryCraze, Triand Rands na GeeGee mwaka 2017.

Rico Gang
Asili yake Nairobi, Kenya
Aina ya muziki Pop, dance, Gengetone, pop rock
Miaka ya kazi 2017–mpaka sasa
Studio Dapstrem Entertainment,
Tovuti        =ricogang.com/
Wanachama wa sasa
Harry Craze
Triand Rands
GeeGee

Kundi hilo limepata umaarufu kwa wimbo wao uitwao Chachisha walioshirikisha Ochungulo Family.

Makala hii kuhusu mambo ya muziki bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Rico Gang kama historia yake au mahusiano yake na mada nyingine?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.